Recent News and Updates

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA AZINDUA KLABU YA LUGHA YA KISWAHILI ITWAAYO BAHATI.

Tarehe 04 Julai, 2026. Mheshimiwa  Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania mchini Burundi  alitembelea Shule ya ECOLE DES ELITES CONTEMPORAINES ya Bujumbura lengo likiwa ni kuzindua Klabu ya kiswahili iitwayo BAHATI… Read More

“WINE TASTING FESTIVAL” YAFANYIKA JIJINI BUJUMBURA.

Tarehe 22 Mei, 2026 ilifanyika "Wine Tasting Festival" Eden Garden Resort mjini Bujumbura iliyoandaliwa na Ubalozi. Lengo la hafla hiyo  lilikuwa ni kuutangaza mvinyo wa Tanzania katika soko la Burundi.Hafla hiyo… Read More

MAONESHO YA BIASHARA YA PAMOJA KATI YA TANZANIA NA BURUNDI JOINT EXPO 2026 KUANZIA TAREHE 20 HADI 24 MEI, 2026 YAFANYIKA NCHINI BURUNDI.

Tarehe 21.5.2026 umefanyika ufunguzi wa Maonesho ya Biashara ya Pamoja, Burundi and Tanzania Joint Expo 2026 yaliyoandaliwa na Ubalozi.  Wafanyabiashara wa mikoa sita  kutoka Tanzania  walishiriki Maonesho hayo.… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Burundi

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Burundi